AIIRTER YATOSHA SHINDA GARI KUTOKA AIRTER

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7I6ANqpDvsC5l40mR8khe6Js-Q_0wncVShX7dhlJ2TlYi7-p1oviSVZcwHi0YrJHS8QI7CAUcNxHHu3066AU5JLrBTLSn7Jes-mXHq2WDxShxy4JZOR0bzhie1VIKJno11m2QvxHK3R8/s1600/DSCF2650.jpgMtu Kutoka Mbeya Ashinda Gari aina ya ist Akijulikana Kwa Jiina La Edson Mwasasu

Na Emanuel Madafa,Mbeya
Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel imekabidhi zawadi ya gari Toyota IST kwa mmoja kati ya kumi katika  droo ya Pili  Promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi inayofanyika kwa kipindi cha miezi mitatu ambapo jumla ya magari 60 yatatolewa kwa wateja wanaotumia mtandao huo.

Gari hilo la nimoja kati ya magari sitini yanayoshindaniwa nchi nzima limetolewa kwa mshindi kutoka Wilayani Kyela Mkoani Mbeya  ambaye ni mkulima Edson Mwansasu katika hafla iliyofanyika Viwanja vya CCM Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya gari hilo Jijini Mbeya , Meneja Kanda za juu Kusini, Straton Mushi, alisema gari hilo imegharimu sh. milioni 15na ni miongoni mwa magari 60 yanayoshindaniwa nchini.


Amesema kuwa lengo ni kutoa maisha bora kwa Watanzania kupitia katika shindano la shinda gari na Airtel Yatoshana kwamba mikoa ya Nyanda za Juu Kusini imebahatika kutoa washindi wawili.


Amesema, kwa mikoa ya kusini magari saba yamebaki kati ya tisa  yanayoshindaniwa na kwamba jinsi ya kushiriki mteja anatakiwa kupiga *149*99# kisha kujiunga kwenye vifurushi vya Airtel yatosha.


Akikabidhi gari hilo kwa mshindi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, aliyataka makampuni mengine  kuiga mfano ulioonyeshwa na kampuni hiyo ya simu ya kurudisha asante kwa wateja wake.



Naye mshindi wa gari Edson Mwansasu, alisema amefurahi sana kwa kushinda zawadi ya gari kutoka Airtel kwani imembadilisha maisha yake.

Mwisho.

- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/mshindi-mwingine-wa-airtel-yatosha.html#sthash.17GDch77.dpuf

Na Emanuel Madafa,Mbeya
Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel imekabidhi zawadi ya gari Toyota IST kwa mmoja kati ya kumi katika  droo ya Pili  Promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi inayofanyika kwa kipindi cha miezi mitatu ambapo jumla ya magari 60 yatatolewa kwa wateja wanaotumia mtandao huo.

Gari hilo la nimoja kati ya magari sitini yanayoshindaniwa nchi nzima limetolewa kwa mshindi kutoka Wilayani Kyela Mkoani Mbeya  ambaye ni mkulima Edson Mwansasu katika hafla iliyofanyika Viwanja vya CCM Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya gari hilo Jijini Mbeya , Meneja Kanda za juu Kusini, Straton Mushi, alisema gari hilo imegharimu sh. milioni 15na ni miongoni mwa magari 60 yanayoshindaniwa nchini.


Amesema kuwa lengo ni kutoa maisha bora kwa Watanzania kupitia katika shindano la shinda gari na Airtel Yatoshana kwamba mikoa ya Nyanda za Juu Kusini imebahatika kutoa washindi wawili.


Amesema, kwa mikoa ya kusini magari saba yamebaki kati ya tisa  yanayoshindaniwa na kwamba jinsi ya kushiriki mteja anatakiwa kupiga *149*99# kisha kujiunga kwenye vifurushi vya Airtel yatosha.


Akikabidhi gari hilo kwa mshindi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, aliyataka makampuni mengine  kuiga mfano ulioonyeshwa na kampuni hiyo ya simu ya kurudisha asante kwa wateja wake.



Naye mshindi wa gari Edson Mwansasu, alisema amefurahi sana kwa kushinda zawadi ya gari kutoka Airtel kwani imembadilisha maisha yake.

Mwisho.

- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/mshindi-mwingine-wa-airtel-yatosha.html#sthash.17GDch77.dpuf

Na Emanuel Madafa,Mbeya
Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel imekabidhi zawadi ya gari Toyota IST kwa mmoja kati ya kumi katika  droo ya Pili  Promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi inayofanyika kwa kipindi cha miezi mitatu ambapo jumla ya magari 60 yatatolewa kwa wateja wanaotumia mtandao huo.

Gari hilo la nimoja kati ya magari sitini yanayoshindaniwa nchi nzima limetolewa kwa mshindi kutoka Wilayani Kyela Mkoani Mbeya  ambaye ni mkulima Edson Mwansasu katika hafla iliyofanyika Viwanja vya CCM Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya gari hilo Jijini Mbeya , Meneja Kanda za juu Kusini, Straton Mushi, alisema gari hilo imegharimu sh. milioni 15na ni miongoni mwa magari 60 yanayoshindaniwa nchini.


Amesema kuwa lengo ni kutoa maisha bora kwa Watanzania kupitia katika shindano la shinda gari na Airtel Yatoshana kwamba mikoa ya Nyanda za Juu Kusini imebahatika kutoa washindi wawili.


Amesema, kwa mikoa ya kusini magari saba yamebaki kati ya tisa  yanayoshindaniwa na kwamba jinsi ya kushiriki mteja anatakiwa kupiga *149*99# kisha kujiunga kwenye vifurushi vya Airtel yatosha.


Akikabidhi gari hilo kwa mshindi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, aliyataka makampuni mengine  kuiga mfano ulioonyeshwa na kampuni hiyo ya simu ya kurudisha asante kwa wateja wake.



Naye mshindi wa gari Edson Mwansasu, alisema amefurahi sana kwa kushinda zawadi ya gari kutoka Airtel kwani imembadilisha maisha yake.

Mwisho.

- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/mshindi-mwingine-wa-airtel-yatosha.html#sthash.17GDch77.dpuf

Na Emanuel Madafa,Mbeya
Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel imekabidhi zawadi ya gari Toyota IST kwa mmoja kati ya kumi katika  droo ya Pili  Promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi inayofanyika kwa kipindi cha miezi mitatu ambapo jumla ya magari 60 yatatolewa kwa wateja wanaotumia mtandao huo.

Gari hilo la nimoja kati ya magari sitini yanayoshindaniwa nchi nzima limetolewa kwa mshindi kutoka Wilayani Kyela Mkoani Mbeya  ambaye ni mkulima Edson Mwansasu katika hafla iliyofanyika Viwanja vya CCM Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya gari hilo Jijini Mbeya , Meneja Kanda za juu Kusini, Straton Mushi, alisema gari hilo imegharimu sh. milioni 15na ni miongoni mwa magari 60 yanayoshindaniwa nchini.


Amesema kuwa lengo ni kutoa maisha bora kwa Watanzania kupitia katika shindano la shinda gari na Airtel Yatoshana kwamba mikoa ya Nyanda za Juu Kusini imebahatika kutoa washindi wawili.


Amesema, kwa mikoa ya kusini magari saba yamebaki kati ya tisa  yanayoshindaniwa na kwamba jinsi ya kushiriki mteja anatakiwa kupiga *149*99# kisha kujiunga kwenye vifurushi vya Airtel yatosha.


Akikabidhi gari hilo kwa mshindi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, aliyataka makampuni mengine  kuiga mfano ulioonyeshwa na kampuni hiyo ya simu ya kurudisha asante kwa wateja wake.



Naye mshindi wa gari Edson Mwansasu, alisema amefurahi sana kwa kushinda zawadi ya gari kutoka Airtel kwani imembadilisha maisha yake.

Mwisho.

- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/mshindi-mwingine-wa-airtel-yatosha.html#sthash.17GDch77.dpuf

Post a Comment

0 Comments