USALITI KATIKA MAPENZI SEHEMU YA 1

USARITI KATIKA MAPENZI::::Kabla Sijaanza Kwanza Mapenzi Ni Upofu""Siku Mmoja Ilikuwa Ni Jumapili Niliondoka Songea Kwenda Riganga Kwenda Kutafuta Mchumba Niliona Mademu Wa Mjini Shule Niakaona Nibola Niende Zangu KIJIJINI Ringanga Basi Ikawa Ivyo Nilitoka Songea Majira Ya Saa Tatu Kamili Juu Ya Arama Nikatoka Singea Nilipofika Riganga Ilikuwa Ni Saa 11;25 Nilipokerewa Na Brother Wangu Aliyeitwa Kajina La Kassimu Yeye Alikuwa Anaishi Na Mke Kiujumla Alikuwa Nafamilia Ya Watoto Watatu Baada Ya Siku Tano Nikamwambia Brother Nina shida Kaka Akaniambia Unashidagani?? Mimi Nikamwambia kk Nimekuja Kijijini Nina Shida Ya KKutafuta Mchumba Kaka Aliniambia Dogo Kwailo Amna Tatizo Akanipeleka Kwa Wazazi Wa Mtoto Yani Namaanisha Yule BintiTukaenda Mimi Na Kaka Tukaongea Siku Ya Pili Nikaenda Kutoa Mahari Shilingi 700000 Za Kitanzania Nikakaa Kule Kijijini Kama Miezi Saba Hivi Na Nikaona Bora Nimuoe Nilimuoa Lakini Nilimuoa Kulekule Kijijini Kwasababu Sikutaka Ndoa Ichelewe Basi Ikawa Ivyo BAADA Yandoa Kupita Tukaamua Tuamie Mjini Maana Huku Mjini Nilikuwa Na Kazi Kazi Nilikuwa Nafanya Kazi Katika Kampuni Moja Inayoitwa Hajiz Classic Company Limited Uko Songea Katika Mji Unaoitwa Police Basi Ikawa Ivyo Baada Ya Miaka Miwili Yule Msichana Alianza Kupata Mashoga Alivyoanza Kupata Mashoga Alinanza Kibuli/Zarau/Kutoniheshim Mimi sIKU mOJA Kipindi Narudi Nyumbani Nikalikuta Gari Nje Haina Ya Fusso Nikashanga lIle Gari Mbona Limesimama Pale Getini Kwangu Limeisha Mafuta Nini Kwakweri Lilikuwa Ni Gari Zuri Nilivyoingia Ndani Nilimkuta Mke Wangu Na Mwanaume Mwingine Tena Ni Rafiki Yangu Ghafla Palepale Nikazimia Nikajikuta Nipo Hospital,,,,,,,,,,,,Usikose Sehemu  Ya Pili Ya Muendelezo Wa Story Nzuri Ya Mapenzi Na Usariti

Post a Comment

0 Comments