SHAMO GENGSTARS washinda kufanya track bure WATOA SHUKRANI ZAO

SHAMO GENGSTARS kundi linalofanya poa sasa kanda ya kusini mwa tanzania zaidi maeneo ya songea juzi lilikubalika na wasanii pamoja na mashabiki na kupata nafasi ya kushinda kufanya nyimbo  bure katika studio za PARADISE RECORDS
  DIRECTOR NA PRODUCER wa PARADISE RECORDS alihaidi kutoa nafasi hio ya bure kwa katika siku yake kuzaliwa na akatoa nafasi kwa wasanii na mashabiki kupendekeza nani anastahili kupewa nafasi hio... hatimaye SHAMO GENGSTARS walijishindia nafasi hiyo.
baada ya kuapata nafasi hiyo SHAMO GENGSTARS wametoa shukurani zao kwa wote waliowapendekezaa kuchukua nafasi hiyo... na wahahaidi kutokuwaangusha mashabiki wao...

Post a Comment

0 Comments