JINSI YA KUMGUNDUA MWANAMKE AMEFIKA KILELENI WAKATI HAJAFIKA

Je inawezekana mwanaume akamgundua mwanamke anayefanya naye mapenzi hakufika kileleni bali anajifanya tu? Kama wewe ni mwanaume ambaye unajali iwapo mpenz wako amefika kileleni au anajifanya tu,basi una nafasi kubwa ya kugundua uongo wake. Lakini iwapo ww ni mwanaume unayejali raha yako peke yako (wanaume wengi wako hivyo) basi hutajal kama umefanikiwa kumfikisha kileleni au la.

Kuna dalili nyingi ambazo zinaonyesha kuwa mwanamke bado hajafika kileleni. Kwanza ni muhimu kukumbuka kuwa kufikia kileleni kwa nmwanamke sio jambo la mwili peke yake bali ni pamoja na hisia za nafsi yake,vitu hivi viwili huenda pamoja hivyo uonapo kuwa mwanamke haonyeshi uchangamfu juu ya kipindi mnafanya mapenzi au anajaribu kukuharakisha basi ujue kuwa upo uwezekano mkubwa sana mwanamke huyo hatafika kileleni bali atajifanya tu. Jambo la pili la kuangalia ni mwanamke ambaye anadai kufika kileleni baada ya muda mfupi,umekuwa umejiandaa kufanya mapenzi kwa muda mrefu mara tu kama radi unasikia mwana mke anasema au kukuonyesha kuwa amefika kileleni hapo fahamu kuwa upo uwezekano mkubwa kuwa umedanganywa.

Vitu mbalimbali huonekana pale mwanamke afikapo kileleni kwa mfano wanawake wengine huwa wakimya sana na mawazo yao na nafsi zao zimezama katika wimbi la raha wanayoipata,wanawake wengine hupiga kelele na kumshika mwanaume kwa nguvu sana na kumbana au kutoa milio fulani,chuchu za matiti husimama,rangi ya ngozi hubadilika na kutokwa na jasho jingi.Usipo yaona baadhi ya mambo haya,hasa kusimama kwa chuchu za titi basi kuna uwezekano mkubwa mwanamke huyo hajafika kileleni.

Wanawake wengi wafikapo kileleni hupumua haraka haraka na uke wao utabana uume wako,mapaja yake hutetemeka na hukunja mgongo na miguu pia kama hutayaona hayo upo uwezekano mkubwa hajafika kileleni japo anaweza kusema amefika. Mwanamke aliyefika kileleni KISIMI chake wengine huita KINEMBE kinakuwa laini mno kiasi kwamba hataki aguswe na chochote katika kiungo hicho naarufu. Hivyo uonapo bado anaendelea kukata kiuno japokuwa amesema ameshafika kileleni na haonyeshi dalili za kujisikia vibaya au kupunguza kasi yake au kusimama kabisa basi jua kuwa upo uwerzekano umedanganywa.

Njia nzuri ya kumgundua kama kweli anenda klileleni unapofanya naye mapenzi ni kuacha ghafla katikati ya sex,utakapo fanya hili ataonyesha hali ya kutofurahia hatua hiyo kama alikuwa hakaribii kileleni basi hakutakuwepo na tofaut yeyote kwake na hataonyesha hali ya kutofurahia kukatishwa kwa kitu ambacho hakikuwepo hivyo kujifanya kwake kutakuwa dhahiki kwako. Kufika kileleni katika mapenzi kunahusisha utumiaji mkubwa wa nguvu za mwili,hivyo kama kasi yake ya kupumua haikubadilika sana basi atakuwa anakudanganya asemapo amefika kileleni, pili iwapo mwanamke ataweza kuinuka na kutoka kitandani na kwenda kufanya vitu vingine mara baada ya kusema au kuonyesha kuwa alifika kileleni atakuwa amekudanganya kwani kufika kileleni hutumia nguvu nyingi za mwili na huhitaji pumziko refu kidogo. Au uonapo mara baada ya kufika kileleni anaanza maongezi ya kawaida kabisa, jua uongo umekuja kwani mara ya baada ya kufika kileleni mwanamke huwa anafikiria kitu kimoja tu na kitu hicho ni alivyofurahia na kuridhika na ubingwa wa mwanaume katika tendo hilo.

Post a Comment

0 Comments